Erasto Nyoni

Erasto Nyoni
Maelezo binafsi
tarehe ya kuzaliwa7 Mei 1988 (1988-05-07)
mahali pa kuzaliwaDar es Salaam, Tanzania
Senior career*
MiakaTimuApps(Gls)
Rolling Stone
A.F.C Arusha
2009Vital'O
2010-Azam FC
Timu ya Taifa ya Kandanda
Tanzania9(1)
* Senior club appearances and goals counted for the domestic league only. † Appearances (Goals).

Erasto Edward Nyoni, (alizaliwa 7 Mei 1988, jijini Dar es Salaam, ni mchezaji wa soka (Mpira wa miguu) ni raia wa Tanzania, anayecheza eneo la kiungo mkabaji katika klabu ya Simba S.C. na timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa stars). Afya yake ya akili ni timamu na anauwezo wa kipekee katika ufungaji wa magoli.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy